Vibrant

Wednesday 28 May 2014

Scholarship by Japanese Government

(Monbukagakusho: MEXT Scholarship Program)

The Ministry of Education, Culture, Sports, Science and Technology (in Japanese: Monbukagakusho, English acronym: MEXT) of Japan offers Tanzanian students 4 types of scholarship to study at Japanese universities or colleges:-
·         Research Students,
·         Undergraduate Students,
·         Specialized Training College Students, and
·         Japanese Studies Students.

The scholarship covers:
·         Full tuition
·         Monthly allowance
·         Round-trip flight between Japan and Canada

For scholarship in 2015 and how to apply, please follow the guideline via this Website: http://www.tz.emb-japan.go.jp/e_studyjapan/scholarship.htm.
Please note that the deadline for each scholarship is Monday 16th June 2014.
Kindly submit your application either by post or by hand to the address below:-  


Location

Embassy of Japan,
P.O. Box 2577, 
Plot No. 1018, Ali Hassan Mwinyi Road, 
DAR ES SALAAM – TANZANIA.   Attention Culture section.

Contact information

Tel: +255-22-2115827/9
Fax: +255-22-2115830

Office hours

Monday - Friday (except Embassy holidays) 
Morning: 7:30 - 12:30, Afternoon: 13:30 - 16:30



Friday 16 May 2014

THE FAMOUS MALINDI- MARINE NATIONAL PARK




Winnie from  Nairobi was among  my colleages who visited  Malindi.


The fishes in  marine park. You just throw white bread and they jump over it.

The climate was a bit strange.We  just prayed to come out safely.

Looking at the fishes.

Me and  my friend Winnie at  Marine Park in  Malindi.


At list the weather is cool.


We  managed to come out safely.

Thursday 15 May 2014

Tuesday 13 May 2014

ILLUMINATI EXPOSED! Demons Reveal Baphomet's Darkest Secrets!!!

THE BEAUTY OF REEF HOTEL IN MOMBASA

The Entrace




Swimming pool
He was explaining to us what happened at the place where there was bom blust

The Beach side where terrorists bomed

Maasai cultures on the Beach Side

One of  my colleague (left) asking for price.

Friday 2 May 2014

TIMU YA NETIBOLI YA UTUMISHI YAPONGEZWA KUNYAKUA UBINGWA MASHINDANO YA MEIMOSI 2014

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Celina O. Kombani akiongea na wachezaji, pamoja na watumishi wa ofisi yake (hawapo pichani) katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya Utumishi kwa kutawazwa kuwa mabingwa katika Mpira wa Pete katika mashindano ya Mei Mosi 2014. iliyofanyika mapema leo. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw. HAB Mkwizu akimkaribisha mgeni rasmi  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (kushoto) kuongea na wachezaji wa ofisi yake na watumishi katika hafla fupi aliyoiandaa kuipongeza timu ya Utumishi kwa kuwa mabingwa wa Mpira wa Pete, Mei Mosi 2014 iliyofanyika ofisini kwake mapema leo 
Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb), (hayupo pichani) katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya Mpira wa Pete kwa kunyakua ubingwa kombe la Mei Mosi 2014 

Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao iliyofanyika ofisini kwake mapema leo
Watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka mwenzao wa Ofisi ya Rais-Ikulu aliyepoteza maisha ghafla siku ya Mei Mosi 2014.

Thursday 1 May 2014

UTUMISHI YAKABIDHIWA KOMBE LA MSHINDI WA NETIBOLI MASHINDANO YA MEIMOSI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akikabidhi kombe kwa Kapteni wa timu ya mpira wa pete ya Utumishi Bi. Elizabeth Fusi kwenye maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kombe hilo limekabidhiwa baada ya timu hiyo kuibuka  bingwa wa mchezo wa mpira wa pete katika mashindano ya Mei Mosi yaliyofanyika mjini Morogoro hivi karibuni.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma (wenye bango) wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.