Vibrant

Thursday 1 May 2014

UTUMISHI YAKABIDHIWA KOMBE LA MSHINDI WA NETIBOLI MASHINDANO YA MEIMOSI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akikabidhi kombe kwa Kapteni wa timu ya mpira wa pete ya Utumishi Bi. Elizabeth Fusi kwenye maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kombe hilo limekabidhiwa baada ya timu hiyo kuibuka  bingwa wa mchezo wa mpira wa pete katika mashindano ya Mei Mosi yaliyofanyika mjini Morogoro hivi karibuni.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma (wenye bango) wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.