Vibrant

Thursday 13 February 2014

Serikali yapokea Wataalamu wa kujitolea kutoka JAPAN

Naibu Katibu Utumishi  Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akizungumza na wataalam wa kujitolea kutoka Japan katika hafla fupi ya kuwakaribisha nchini iliyofanyika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Rais,Utuimishi mapema leo.Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa JICA Tanzania Bw. Shinya Tomonari.
Wataalamu wa kujitolea kutoka JAPAN wakimsikilizsa Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (hayupo pichani) katika hafla fupi ya kuwakaribisha iliyofanyika ukumbi wa mikutano wa Utumishi mapema leo.
Naibu Katibu Mkuu  Utumishi Bw.HAB Mkwizu (wa pili kutoka kulia mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa kujitolea  wa fani mbalimbali kutoka Japan waliokuja kutoa huduma katika sekta mbalimbali nchinibaada ya hafla fupi iliyofanyika mapema leo.



TALKING NOTES BY DEPUTY PERMANENT SECRETARY MR. HAB MKWIZU ON THE OCCASION OF WELCOMING JICA VOLUNTEERS 13TH FEBRUARY, 2014

Shinya Tomonari, JICA Senior Representative,
Kazuyoshi Kotake, JICA Volunteer Coordinator,
JICA Volunteers

Good morning!
On behalf of the President’s Office, Public Service Management, I am honored to welcome you all to this Office.
I should say at the beginning, that we honor and appreciate so much the good working relationship between JICA and the President’s Office, Public Service Management