Vibrant

Friday 21 March 2014

VACANCY ANNOUNCEMENT-International Fund for Agricultural Development (IFAD)

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT'S OFFICE 




VACANCY ANNOUNCEMENT

          Applications are hereby invited from qualified and experienced Tanzanians for the following Vacant post advertised by International Fund for Agricultural Development (IFAD)

S/N
POSITION             
DEPARTMENT/               ORGANIZATIONAL  UNIT
DUTY             STATION
DEADLINE
1.
Director D-2
Independent Office of Evaluation Division
Rome,  Italy
9th April 2014
2.
Policy and Technical Advisory Division
Rome,  Italy
10th April 2014
3.
Policy and Technical Advisory Division
Rome,  Italy
10th April 2014
4.
West & Central Africa Division
10th April 2014
5.
Policy and Technical Advisory Division

Rome,  Italy
11th April 2014
6.
Policy and Technical Advisory Division
Rome,  Italy
11th April 2014
7.
East & Southern Africa Division
Bujumbura, Burundi
16th  April 2014


8.
MDG Sub Programme Coordinator
East & Southern Africa Division.
Organizational unit
02nd  May 2014


SUBMISSION OF APPLICATIONS

·        For more information regarding Terms of References for advertised positions, Qualifications, Tenure of Appointment and remuneration, please visit the International Fund for Agricultural Development (IFAD) website: www.ifad.org/jobs
 ·        All the applications should be made through the online system only via the following website: https://job.ifad.org . ·        Copy of the applications should be sent to the following address:-
                              
Permanent Secretary,President’s Office-Public Service Management,P.O. Box 2483,DAR ES SALAAM.
 E-mail: permsec@estabs.go.tz


WANAFUNZI WALIONUFAIKA NA ELIMU YA JUU WATAKIWA KUREJESHA MKOPO KWA NJIA YA MTANDAO

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo  ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akifafanua kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu utaratibu mpya wa wanafunzi walionufaika na mikopo ya HELSB  kurejesha mikopo yao kwa njia ya mtandao kuanzia mwezi septemba 2013, ambapo  huduma ya M-Mpesa ilianza kutumika  na kuanzia April 2014, Aitel Money itatumika pia kama mfumo wa kurejesha mikopo hiyo. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawsiliano toka bodi ya Mikopo  ya wanafunzi wa Elimu ya juu Bw. Cosmas Mwaisobwa (katikat)i akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu idadi ya wanafunzi walionufaika na mikopo ambapo kufikia mwaka 2013 wanafunzi 97,348 walikuwa wamenufaika na mikopo ya bodi hiyo. Kulia ni Afisa Habari  wa Idara ya Habari Maelezo  Frank Mvungi na kushoto ni Afisa Habari Mwandamizi toka bodi hiyo Veneranda Malima.


Na Frank Mvungi-Maelezo
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) imeanzisha utaratibu mpya wa kurejesha mikopo kwa njia ya mtandao.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wabodi hiyo Cosmas Mwaisobwa wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Akifafanua Mwaisobwa amesema kuanzia mwezi Septemba, 2013 Bodi hiyo ilianzisha utaratibu mpya wa kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya M-Pesa.
Mwaisobwa alisema katika kuimarisha mfumo wa urejeshaji mikopo kuanzia mwezi april, 2014 walionufaika na mikopo hiyo wataweza kurejesha kupitia Aitel Money.
Kabla ya kuanza kutumia huduma ya M-pesa, mnufaika wa mkopo anapaswa kuwasiliana na HELSB ili kupata mambo muhimu ambayo ni Taarifa ya Mkopo, (Loan statement) Kiwango cha marejesho, (Loan instalments) na Namba ya kumbukumbu (Loan number).
HELSB pia hutoa msaada kwa waombaji wa mikopo wanaopata matatizo madogo madogo wakati wa kujaza fomu kwa kutumia dawati maalum la msaada kwa wateja ambapo msaada hutolewa kwa njia ya simu siku za Jumatatu hadi Jjumaa kuanzia saambili asubuhi hadi saa 2 usiku.
Mwaisobwa alibainisha baadhi ya changamoto zinazoikabili HELSB ni imani potofu iliyoenea kwamba mikopo hiyo ni ruzuku na ushirikiano hafifu na baadhi ya waajiri katika urejeshaji mikopo.
Mwaisobwa alitoa wito kwa wale wote walionufaika na mikopo kurejesha mikopo hiyo kwa wakati ili kutoa fursa kwa wahitaji wengine kukopeshwa.

Tangu kuasisiwa kwake, Bodi hiyo imefanikiwa kutoa mikopo kwa idadi kubwa ya wanafunzi ikilinganishwa na hali ilivyokuwa kabla bodi kuanzishwa, ambapo wanafunzi wameongezeka kutoka wanafunzi 42,729 mwaka 2005/2006 hadi wanafunzi 97,348 mwaka 2012/2013,ongezeko hili ni sawa na wastani wa 10.4% kwa mwaka.