Vibrant

Thursday 14 May 2015

HAZINA YAFANYA WARSHA KUHUSU MABORESHO YA FEDHA ZA UMMA


Msemaji wa Wizara ya Fedha, Bi. Ingiahedi Mduma akifafanua jambo wakati wa warsha ya siku tano kuhusu mradi wa maboresho ya matumizi ya fedha za umma iliyofanyika katika Hoteli Njuweni Kibaha.
Washiriki wa warsha kuhusu maboresho ya matumizi ya fedha za umma iliyofanyika katika Hoteli ya Njuweni Kibaha


Washiriki wa warsha kuhusu maboresho ya matumizi ya fedha za umma iliyofanyika katika Hoteli ya Njuweni Kibaha
Bloggers wakiwa katika warsha kuhusu maboresho ya matumizi ya fedha za umma iliyofanyika katika Hoteli ya Njuweni Kibaha