Vibrant

Thursday 10 April 2014

UTUMISHI YAFANYA KIKAO KAZI KWA VIDEO CONFERENCE KATI YAKE NA MIKOA YA TANGA,DAR ES SALAAM,MOROGORO NA MWANZA

Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw. Hassan Kitenge (kulia) akiwasilisha mada kwa njia ya kielektroniki (video conference) katika kikao kazi  kati ya Utumishi na Mikoa ya Tanga,Dar es Salaam,Morogoro na Mwanza kilichofanyika ukumbi wa Utumishi mapema leo.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akifuatilia mada wakati wa kikao kazi kilichofanyika kwa njia ya kielektroniki (video conference) kati ya Utumishi na Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga,Morogoro na Mwanza katika ukumbi wa Utumishi  mapema leo. Kulia ni Mkurugenzi wa TEHAMA Bw.Priscus Kiwango akifuatilia mada.