Vibrant

Thursday 6 March 2014

Wanafunzi watakiwa kuchukua hatua wanapokutana na aina yeyote ya udhalilishaji wa kijinsia.

Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Dkt. Pindi Chana akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika Tarehe 8, Machi kila mwaka, Wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari leo Mjini Dodoma. Kulia ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Jovina Bujulu

Matukio Bunge Maalum la Katiba Dodoma leo

Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Monduli Edward Lowassa (Kushoto) akimweleza jambo mjumbe mwenzie Bw. Saleh Pamba baada ya Bunge hilo kuahirishwa, leo Mjini Dodoma