Vibrant

Wednesday 16 April 2014

SERIKALI YASAINI MKATABA WA KUSIMIKA MTANDAO WA MAWASILIANO WA SERIKALI

Katibu Mkuu Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa kuweka Mtandao wa Mawasiliano wa Serikali  na kampuni za mawasiliano za SOFTNET Technologies na TTCL iliyofanyika ofisini kwake jana. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Serikali Mtandao (eGA) Dkt Kuwe Bakari, kushoto ni Bw. Priscus Kiwango Mkurugenzi wa TEHAMA Utumishi, akifuatiwa na Mkurugenzi wa kampuni ya SOFTNET Ltd  Bw.Gilbert Herman 

Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto) akimkabidhi mkataba wa kuweka mtandao wa Mawasiliano wa Serikali Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) Dkt.Kuwe Bakari wakati wa hafla fupi iliyofanyika ofisini kwake jana. 

Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi akimkabidhi mkataba wa kuweka mtandao wa Mawasiliano wa Serikali Mkurugenzi wa kampuni ya  SOFTNET Technologies Ltd Bw. Gilbert Herman wakati wa hafla fupi ya kusainiana mkataba huo iliyofanyika Utumishi jana. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) Dkt.Kuwe Bakari. 

Katibu Mkuu Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa kuweka Mtandao wa Mawasiliano wa Serikali  na kampuni za mawasiliano za SOFTNET Technologies na TTCL iliyofanyika jana Ofisini kwake. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Serikali Mtandao (eGA) Dkt Kuwe Bakari, kushoto ni Bw. Priscus Kiwango Mkurugenzi wa TEHAMA Utumishi, akifuatiwa na Mkurugenzi wa kampuni ya SOFTNET Ltd  Bw.Gilbert Herman 

Baadhi ya wajumbe walioshiriki hafla fupi ya kusaini mkataba wa kuweka Mtandao wa Mawasiliano wa Serikali  na kampuni za mawasiliano za SOFTNET Technologies na TTCL iliyofanyika jana Ofisini kwake.