Vibrant

Friday 5 September 2014

SCHOLARSHIP ANNOUNCEMENT FOR LONG COURSES IN REPUBLIC OF KOREA FOR THE SPRING 2015

               
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT'S OFFICE
 PUBLIC SERVICE MANAGEMENT



Applications are invited for qualified government officials to apply for the following long courses at the KDI School of Public Policy and Management:-

1.  MPP (Master of Public Policy),
2.  MDP (Master of Development Policy),
3.  MPM (Master of Public Management), and
4.  Ph.D. in Public Policy.

Admissions procedures:
Submission of online application must be completed by midnight of the deadline via this website: http://admissions.kdischool.ac.kr/  

The application deadline for Spring 2015 Admissions is October 24th, 2014.

For more information about the admissions, scholarship opportunities and candidate recommendation please feel free to contact the Admission Office (phone: 02 – 3299 – 1281, E-mail: admissions@kdischool.ac.kr)

The Application Guideline for International Students is attached with this Advertisement easy reference.




SCHOLARSHIP ANNOUNCEMENT LONG COURSES (MASTERS DEGREE) UNDER CHEVENING SCHOLARSHIP FUNDED BY THE UNITED KINGDOM AND COMMONWEALTH FOR 2015/2016.


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE MANAGEMENT


Applications are invited from qualified Tanzanians (Public and Private Sector) to apply for Long Courses tenable in United Kingdom for the year 2015/2016.
      Eligibility for Chevening Scholarship:
·         Be a citizen of a Chevening –eligible country and intend to return there after your studies,
·         Hold a degree that is equivalent to at least an upper second class honors Degree in the UK,
·         Have Completed at least   two years work experience,
·         Be able to meet the Chevening minimum English Language requirement,
·         Be able to obtain the correct visa and receive an unconditional offer form a UK university,

You must submit an online application for a Chevening Scholarship through the Chevening Scholarships website www.chevening.org/apply before the closing date which is 15 November, 2014.

For more details about the scholarship and courses offered and eligibility criteria can be found at www.chevening,org/apply/guidance.

Further details about application process, closing dates and priority subject areas will be available on the country pages of www.chevening.org/apply The Deadline of Application Process is 15 November, 2014.




Wednesday 28 May 2014

Scholarship by Japanese Government

(Monbukagakusho: MEXT Scholarship Program)

The Ministry of Education, Culture, Sports, Science and Technology (in Japanese: Monbukagakusho, English acronym: MEXT) of Japan offers Tanzanian students 4 types of scholarship to study at Japanese universities or colleges:-
·         Research Students,
·         Undergraduate Students,
·         Specialized Training College Students, and
·         Japanese Studies Students.

The scholarship covers:
·         Full tuition
·         Monthly allowance
·         Round-trip flight between Japan and Canada

For scholarship in 2015 and how to apply, please follow the guideline via this Website: http://www.tz.emb-japan.go.jp/e_studyjapan/scholarship.htm.
Please note that the deadline for each scholarship is Monday 16th June 2014.
Kindly submit your application either by post or by hand to the address below:-  


Location

Embassy of Japan,
P.O. Box 2577, 
Plot No. 1018, Ali Hassan Mwinyi Road, 
DAR ES SALAAM – TANZANIA.   Attention Culture section.

Contact information

Tel: +255-22-2115827/9
Fax: +255-22-2115830

Office hours

Monday - Friday (except Embassy holidays) 
Morning: 7:30 - 12:30, Afternoon: 13:30 - 16:30



Friday 16 May 2014

THE FAMOUS MALINDI- MARINE NATIONAL PARK




Winnie from  Nairobi was among  my colleages who visited  Malindi.


The fishes in  marine park. You just throw white bread and they jump over it.

The climate was a bit strange.We  just prayed to come out safely.

Looking at the fishes.

Me and  my friend Winnie at  Marine Park in  Malindi.


At list the weather is cool.


We  managed to come out safely.

Thursday 15 May 2014

Tuesday 13 May 2014

ILLUMINATI EXPOSED! Demons Reveal Baphomet's Darkest Secrets!!!

THE BEAUTY OF REEF HOTEL IN MOMBASA

The Entrace




Swimming pool
He was explaining to us what happened at the place where there was bom blust

The Beach side where terrorists bomed

Maasai cultures on the Beach Side

One of  my colleague (left) asking for price.

Friday 2 May 2014

TIMU YA NETIBOLI YA UTUMISHI YAPONGEZWA KUNYAKUA UBINGWA MASHINDANO YA MEIMOSI 2014

Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Celina O. Kombani akiongea na wachezaji, pamoja na watumishi wa ofisi yake (hawapo pichani) katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya Utumishi kwa kutawazwa kuwa mabingwa katika Mpira wa Pete katika mashindano ya Mei Mosi 2014. iliyofanyika mapema leo. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw. HAB Mkwizu akimkaribisha mgeni rasmi  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (kushoto) kuongea na wachezaji wa ofisi yake na watumishi katika hafla fupi aliyoiandaa kuipongeza timu ya Utumishi kwa kuwa mabingwa wa Mpira wa Pete, Mei Mosi 2014 iliyofanyika ofisini kwake mapema leo 
Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb), (hayupo pichani) katika hafla fupi ya kuipongeza timu ya Mpira wa Pete kwa kunyakua ubingwa kombe la Mei Mosi 2014 

Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao iliyofanyika ofisini kwake mapema leo
Watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka mwenzao wa Ofisi ya Rais-Ikulu aliyepoteza maisha ghafla siku ya Mei Mosi 2014.

Thursday 1 May 2014

UTUMISHI YAKABIDHIWA KOMBE LA MSHINDI WA NETIBOLI MASHINDANO YA MEIMOSI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akikabidhi kombe kwa Kapteni wa timu ya mpira wa pete ya Utumishi Bi. Elizabeth Fusi kwenye maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kombe hilo limekabidhiwa baada ya timu hiyo kuibuka  bingwa wa mchezo wa mpira wa pete katika mashindano ya Mei Mosi yaliyofanyika mjini Morogoro hivi karibuni.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utuimishi wa Umma (wenye bango) wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Taifa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi.

Wednesday 30 April 2014

GOSSIP JOURNALIST GETS A SHOCK - Delivered From Demons!!!

MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA


Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma inapenda kuwafahamisha wadau wake kuwa anuani yake imebadilika hivyo kuanzia sasa mawasiliano yafanyike kwa kutumia anuani ifuatayo;

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
UTUMISHI HOUSE
8 BARABARA YA KIVUKONI
11404 DAR ES SALAAM
au
PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT
UTUMISHI HOUSE
8 KIVUKONI ROAD
11404 DAR ES SALAAM

Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie anuani mpya.

Limetolewa na
Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

Barua pepe; permsec@utumishi.go.tz

Tuesday 29 April 2014

UTUMISHI YATWAA UBINGWA MASHINDANO YA MEI MOSI 2014

Wachezaji wa Ofisi ya Rais, Utumishi wakipasha misuli moto (warm-up) jana kabla ya mechi ya mashindano ya Mei Mosi 2014 dhidi ya Uchukuzi iliyochezwa uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
Mfungaji bora wa mshindano ya Mei Mosi 2014 wa mpira wa pete Fatuma Machenga (GS) wa Utumishi akiwa na kikombe cha ufungaji bora mara baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi wakati wa hafla fupi ya ufungaji wa mashindano hayo iliyofanyika jana Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Baadhi ya wachezaji wa Utumishi (jezi za kijani) wakishangilia ubingwa wa michuano ya Mei Mosi waliopata pamoja na baadhi ya wanamichezo wenzao toka taasisi mbali mbali mara baada mechi dhidi ya Uchukuzi iliyochezwa jana uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.


Mchezaji wa Uchukuzi (C) (mwenye mpira) akijianda kutoa pasi kwa huku  mchezaji wa Utumishi Sophia Komba akijianda kuunyaka mpira katika mechi ya mashindano ya Mei Mosi 2014 dhidi ya Uchukuzi iliyochezwa jana uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.


Na. James Katubuka
Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeibuka kinara wa mpira wa pete katika mashindano ya Mei Mosi ya mwaka huu yaliyofikia tamati jana katika kiwanja cha Jamhuri mjini Morogoro.

Utumishi walijikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya kuisambaratisha timu ya Wizara ya Uchukuzi kwa kuibugiza magoli 33 dhidi ya 21 katika mchezo uliokuwa na ushindani na msisimko wa aina yake uliorindima katika Uwanja mkongwe wa Jamhuri Morogoro.

Mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Ofisi ya Rais (Utumishi) alikuwa mwiba dhidi ya timu ya Uchukuzi kwa kuiongoza Utumishi vema katika mchezo huo.
Aidha,Goal Shooter (GS) huyo wa Utumishi ndiye mfungaji bora wa mashindano ya Mei Mosi kwa mpira wa pete ambapo amefunga magoli 136 yaliyopelekea kunyakua kikombe cha ufungaji bora.

Akizungumzia hali ya mchezo baada ya mwamuzi kupuliza kipenga cha mwisho, Mchezaji Subira Jumanne (WA) wa timu ya Uchukuzi alisema kuwa mchezo ulikuwa na ushindani mkubwa kwani walikutana na timu nzuri na iliyojiandaa vema.
“Asiyekubali kushindwa si mshindani hivyo tutafanya maandalizi ya kutosha ili katika mashindano yajayo nasi tuwe mabingwa” alisema Subira.

Naye,mfungaji bora wa mshindano hayo mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Utumishi akiwa mwenye furaha alisema kuwa anajisikia fahari kuiwezesha timu yake kuwa bingwa.

“Tutahakikisha kuwa mwakani tunapambana kwa hali na mali ili tuweze kutetea ubingwa wetu” alisema Machenga.

Utumishi imenyakua kombe hilo lililokuwa likishikiliwa na timu ya Wizara ya Ulinzi ambao ndio walikuwa mabingwa wa Mei Mosi 2013.Kikombe cha mshindi wa pili  kwa mwaka huu kimenyakuliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani na mshindi wa tatu ni Wizara ya Uchukuzi.


Monday 28 April 2014

VACANCY ANNOUNCEMENT-AFRICAN RISK CAPACITY

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT'S OFFICE
 


          Applications are hereby invited from qualified and experienced Tanzanians for the following Vacant post advertised by the African Risk Capacity (ARC)

·        Post :                            Director General
·        Duty Station :                Pretoria - South Africa
·        Deadline for Applications :  30th April 2014

SUBMISSION OF APPLICATIONS

For more information regarding Terms of Reference of the advertised posts; qualifications, tenure of appointment, and remuneration please visit the African Risk Capacity (ARC): http://www.africanriskcapacity.org/arcdg/application  

·        All the applications should be made through the online system only via the following website: erica.hovanibue@africanriskcapacity.org

·        Copy of the applications should be sent to the following address:-
                               
Permanent Secretary,
President’s Office-Public Service Management,
P.O. Box 2483,
DAR ES SALAAM.








Kansiime Anne ready to take on husband number 2

Sunday 27 April 2014

JIPATIE KITENGE ORIGINAL KUTOKA CONGO!


Sale!Sale!Sale!
Vitenge vya Wax Original kabisa kutoka nchini Congo.
Bei ni nafuu.Vimebaki vichache wahi chako sasa.
Kama unahitaji wasiliana nami kwa namba hii 0717080903

UTUMISHI YAENDELEA KUTOA VICHAPO MASHINDANO YA MEI MOSI MOROGORO

Mchezaji wa Ofisi ya Rais, Utumishi Lilian Sylidion (GK) akinyaka mpira na kuwazidi wachezaji wa CDA Dodoma  katika mechi iliyochezwa jana ya mashindano ya Mei Mosi 2014 katika  Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mchezaji wa CDA ya Dodoma (mwenye mpira) akijianda kutoa pasi kwa huku akiwa kazingirwa na wachezaji wa Utumishi katika mechi iliyochezwa jana katika mashindano ya Mei Mosi 2014 yanayoendelea katika  Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mwadawa Twalibu (GA) wa timu ya Ofisi ya Rais Utumishi akijiandaa kuchukua mpira licha ya upinzani wa wachezaji wa CDA Dodoma katika   mashindano ya Mei Mosi 2014 yanayoendelea katika  Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mchezaji wa Ofisi ya Rais, Utumishi Sophia Komba  (C) akijiandaa kutoa pasi kwa Fatuma Machenga (GS) katika eneo la goli la wapinzani wao CDA Dodoma katika  mashindano ya Mei Mosi 2014 yanayoendelea katika  Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Friday 25 April 2014

Lets just fight! Kansiime Anne

UTUMISHI YAICHAKAZA CDA MASHINDANO YA MEI MOSI

Na. James Katubuka
Timu ya Mpira wa pete ya ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeendelea kujiweka katika nafasi nzuri ya kuwa bingwa wa michuano ya Mei Mosi mwaka huu mara baada ya kuilaza CDA ya Dodoma magoli 42 dhidi 15 katika mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mchezo huo ulikuwa na ushindani wa aina yake kutokana wachezaji wengi wa CDA kuwa ni wazoefu na Ofisi ya Rais Utumishi kuwa na wachezaji ambao wengi wao wameshaichezea timu ya Taifa kwa nyakati tofauti.

Licha ya washabiki wa mpira wa pete mjini Morogoro kushuhudia burudani safi pia walishuhudia jahazi la timu ya CDA likizama katika kipindi cha kwanza kwa kubugizwa  magori 16 dhidi ya matano katika mchezo huo.

Hadi mwamuzi wa mchezo huo anapuliza kipenga cha mwisho kuashiria mchezo huo kwisha, wachezaji wa Ofisi ya Rais Utumishi Fatuma Machenga (GA) na Mwadawa Twalibu (GS) walishirikiana vema kuilaza CDA mabao 42 dhidi ya 15.

Nao wachezaji Anna Msulwa (WA) na Elizabeth Fusi (C) walikuwa ni chachu ya ushindi kwa timu ya utumishi kutokana na kuwalisha vema Fatuma Machenga (GA) na Mwadawa Twalibu (GS) katika mchezo huo uliotawiliwa na ufundi na shamla shamla toka timu pande zote mbili.

Mara baada ya mchezo kumalizika, kocha wa timu ya CDA Dodoma Bi. Susan Nkurlu alisema kuwa mchezo ulikuwa mzuri na wa kuvutia hivyo aliwapongeza wachezaji wake na wa Utumishi kwa kutoa burudani safi kwa wapenzi wa mpira wa pete wa Morogoro.

“Kukosekana kwa kwa wachezaji wangu nyota wawili Goal Shooter (GS) na Wing Attack (WA) kumepelekea timu yangu kupoteza mchezo huu lakini naahidi kupata ushindi katika mechi ijayo dhidi ya TTPL” alisema Nkurlu.

Naye,Kocha wa timu ya Ofisi ya Rais (Utumishi) Bw. Mathew R. Kambona aliwapongeza wachezaji wake kwa kuibuka na ushindi mnono na kuhaidi kuyafanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza katika mchezo huo ili kutengeneza mazingira mazuri ya kuendeleza wimbi la ushindi katika  mechi ijayo.