Vibrant

Sunday 16 March 2014

Utumishi yafanya kikao cha Baraza la Wafanyakazi cha mwaka


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa OR MUU Bw. George D. Yambesi, katikati, akiendesha mkutano wa Baraza la Wafanyakazi hivi karibuni, kulia ni Naibu Katibu Mkuu OR MUU Bw. HAB Mkwizu na kushoto ni Katibu wa Baraza hilo Bi. Lilian Dennis

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa OR MUU Bw. George D. Yambesi, kushoto, akisikiliza hoja zilizowasilishwa na Watumishi wa Ofisi yake katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika jijini Dar es salaam hivi karibuni, kulia ni Naibu Katibu Mkuu OR MUU Bw. HAB Mkwizu.


Sehemu ya wajumbe wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza (hayupo pichani) wakati wamkutano hyuo uliofanyikla hivi karibuni.


No comments: