Vibrant

Wednesday 26 March 2014

UTUMISHI YAJADILI MASUALA YA KIUTUMISHI KWA NJIA YA ELEKTRONIKI NA OFISI ZA MIKOA YA PWANI,LINDI NA MBEYA

Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi Rasilimaliwatu Bw. Emmanuel Mlay (picha ndogo kulia) akiwasilisha mada katika kikao kazi kilichoendeshwa kwa njia ya kielektroniki (video conference) kwa pamoja na mikoa ya Pwani, Mbeya na Lindi mapema leo

No comments: